KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA UJENZI WA BARABARA YA MZUNGUKO WA NJE, JIJI LA DODOMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 мар 2025

Комментарии • 32

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n Месяц назад +1

    Hongera sana Mheshimiwa Samia MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana

  • @mahirwilliam4838
    @mahirwilliam4838 Месяц назад +2

    Kazi iendelee

  • @EnockSimonMwakapalila
    @EnockSimonMwakapalila Месяц назад

    Nice job

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin Месяц назад +3

    TUMEUWA NDEGE WAWILI KWA JIWE MOJA WELL DONE TANROADS

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa Месяц назад

      Huo mradi mkandalasi hasimamiwi kikamilifu ndiyo maana mradi unasuasua kweli hako nikakipande kadogo sana

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 Месяц назад +5

    Kazi nzuri sana, naipongeza TANROADS lakini pia mfikirie japo kidogo kuweka hata flyover moja Capital city Dodoma

    • @baseonline4178
      @baseonline4178 Месяц назад +1

      Kaka kazi ya flyover sio kupendezesha mji

    • @MussaJabiri-w9j
      @MussaJabiri-w9j Месяц назад

      😂😂​@@baseonline4178

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa Месяц назад

      Hasa njia ya makutano ya mh waziri Mkuu

    • @hassanomar2536
      @hassanomar2536 Месяц назад +1

      Sahihi kbsaaa. Kuna uhitaji mkubwa wa Flyover hasa makutano ya hzo barabara ihumwa. TANROAD mnabidi ku consider hiki kitu

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa Месяц назад

      @@hassanomar2536 Mtu wa kuweka flyovers siyo Tanroad ni Mkuu wa Nchi awe na maono hayo kama Hayati Magufuri alivyokuwa na maono ya kujenga airport msalato na lingroad Dodoma Zimepita Awamu ngapi hazikuliona hilo

  • @karimkinwary4668
    @karimkinwary4668 Месяц назад +2

    Tanroads kwa nn msijenge light rail system au Tran railway izunguke jiji la Dodoma na hiyo itakua step kubwa sana kwa nchi yetu na itaongeza thamani ya Capital city bila kusahau kuwa kitovu cha utalii pia

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Месяц назад

    Hongera sana serikali kwa utekekezaji mzuri kama itakamilika kila kitu kwa mujibu wa maelezo ya naibu waziri basi itakuwa ni barabara ya mfano tena watu watakuja kujifunza, lakini hapo kwenye ujengwaji wa miti mh. Waziri ametisha😂😂😂

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 Месяц назад

      Kwa kweli ila sasa hiyo miti inajengwaje???

  • @charlesadolf1062
    @charlesadolf1062 Месяц назад +1

    Boss umeongea kitu kikubwa mnoo. Barabara ikiwa na Highway haipaswi kuwa na matuta. Kiongozi mkubwa na wa mfano. Nakupongeza mno kwa hili. Wakati mwingine matuta yanachangia uharibifu wa miundombinu pia magari kwa ujumla

  • @dullahomar6377
    @dullahomar6377 Месяц назад

    👐

  • @yusufuosman8966
    @yusufuosman8966 Месяц назад +2

    Wekeni matangazo au vibqngo vinavyoonyesha hii ni hifadhi ya Barabara hairusiwi kujenga au kufanya biashara eneo la Barabara.

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 Месяц назад

    Hii ya mama samia ameweza mama samia amefanya mama samia amewezesha mama samia anasaidia mama samia ni jembe mama samia tunamshukuru mama samia mama yetu mama samia...........yani story nzima ni mama ina boa sana hata uzuri wa kusikiliza jambo. unapotea

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa Месяц назад

    Upuuzi kabisa barabara hiyo hata 20% Bado haijafikia Kila wiki napita hapo naenda Iringa Shida kubwa huo mradi mkandalasi hasimamiwi kikamilifu ndiyo maana mradi unasuasua

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes Месяц назад

    Barabara zinapaswa ziwekwe sidewalk (pedestrian) barabara za Dar ndo ovyo kabisa hatari watembea kwa miguu kugongwa na magari. Na highway lazima ziwekwe vivuko vya daraja la kukatisha watu au bypass watakayo katisha watu.

  • @iskiji1240
    @iskiji1240 Месяц назад

    Miradi yenu yote haikamiliki kwa wakati, kila mradi mko nyuma ya muda. Inaonekana muda mnaopanga sio halisia, mjitafakari

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n Месяц назад

    Endelea kuipendezesha Dodoma

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin Месяц назад +1

    INAJENGWA MITI🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jeremiaaugustino7187
    @jeremiaaugustino7187 Месяц назад

    WASIMAMIZI sio kuwaomba ni kuwa amuru

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Месяц назад

    Hawaongelei tena commuter train 😢😢😢 ambao walishafanya usanifu yakinifu, sidhani hilo litatokea kwa hii serikali ya huyu Bibi tozo

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 Месяц назад +1

      Utakufa Bure kwa Gubu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mustaphahamza6262
    @mustaphahamza6262 Месяц назад

    Tunge omba muiangalie kwa jicho la tatu kwenye bajeti ijayo barabara ya Makongolosi hadi Mkiwa ni barabara fupi kwa wasafiri wanaotoka Mwanza,Kigoma,Tabora na Singida kwenda Mbeya na nchi jirani za Kusini mwa Tanzania

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin Месяц назад

    NINGEPENDA KAMA MNGEWEKA MWENDO KASI